Magazeti

Kingunge jukwaa moja na Ukawa,

Mwanasiasa mkongwe na miongoni wa waasisi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kingunge Ngombale Mwiru leo amehutubia katika jukwaa la kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na kusema chama tawala kimeishiwa pumzi. Article Source: Mwananchi

Mrema, Dk Magufuli wapigiana kampeni Vunjo


Katika hali ambayo haikutarajiwa, Mwenyekiti wa TLP taifa, Augustino Mrema leo amemnadi mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwa  ndiye anafaa kuwa rais wakati chama chake kikiwa kimemsimamisha, Macmillian Lyimo kuwania nafasi hiyo  ya urais kwa tiketi ya TLP.Article Source: Mwananchi

  Uingereza yamwaga fedha kusaidia wakimbizi nchini


 Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Uingereza (DFID) limepeleka ahueni kwa wakimbizi wa Burundi waliopo nchini baada ya kutoa msaada wa kibinadamu wa pauni 5 milioni takriban Sh16. 5 bilioni.
Article Source: Mwananchi

0 comments:

Post a Comment

Popular Posts

Recent Posts

Unordered List

Text Widget

Powered by Blogger.
Copyright © RAPHAEL KILALE | Powered by Blogger
Design by Saeed Salam | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com