Tuesday 13 October 2015

UHUSIANO WA VITI VYA ENZI NA MAFANIKIO YAKO Mwalimu C.Mwakasege

UHUSIANO WA VITI VYA ENZI NA MAFANIKIO YAKO
Mahali: Viwanja vya Jangwani
Mnenaji; Mwalimu  C.Mwakasege


Day:1

Nini Maana ya Kiti cha Enzi
Ni nafasi ya utawala ambayo iko katika ulimwengu wa Kiroho yenye mamlaka juu ya mwelekeo wa maisha ya watu
Nafasi hii utaikuta katika ngazi tofauti
1.Siasa
2.Familia
3.Huduma
4.Taifa
5.kabila
6.Kanisa
7.Jamii NK

Kimuonekano kunaweza kukawa na kito cha kawaida mf:kanisan au maaskofu anapokua hayupo huwa kiti chake kinafunikwa au hakiruhusiwi mtu kukalia kwa ishara ya kwamba amepewa heshima na watu wanaomzumguka na anaongea kwa kiti sio kama yy

Mat 23:1,2
Kutok 3:9,10
Kutk 4:12-16

Musa alipokufa kiti chake kiliendelea kubaki na Mungu alimpa Nafasi ili aheshimike Kiroho na kiutawala
Mungu akikupa kiti anaheshim na kusikia maneno yanayotoka kwa Yule aliyeko au aliyekalia kiti Hicho

Mat 22:14
Shetani hana shida na na waitwao anashida na Mteule au wateule
Mf:katika uchaguz wa nafasi au kiti cha Urahis waliopeleka kugombea nafasi izo kutoka katka vyama vyao wao ni wateule katika chama chao ila katka tume ya uchaguz ni waitwao na atakayepita katka na kuwa Rais yy ndio Mteule
Rais akisimikwa ndio anakua mwenykt mana hawz kuwa mwkt akat yuko Rais mwengine ambae bado hajaachia kiti
Ufunuo 3:21
Efeso 2:6
Efeso 1:20
Katikati ya kuchaguliwa na kuketi kuna mapambano kwaiyo huwez kuketi bila kushindana au kupambana
Ufun 13:1,2,7,9
Shetani akikuvuruga katka kusikia kwako kavuruga imani yako
Ni hatari sana kwa kanisa kutegemea upako kuliko kuka katka kiti
Ufunuo 2:12-17
Matend 1:8
Antipas alikua na uwezo wa kuhubir lakin alikua hana mamlaka wa kulinda kazi ya Mungu na usalama katka kile anacho hubir na aliyekaa ktka kiti cha peligamo ni mchungaj wake ambae alikaa katka kiti cha enzi cha shetani
Sifa lakanisa la peligamo hilo walikua na kiburi cha uzima na walikua vuguvugu
Ufunuo 22
Mungu aliweka kiti katika Kiti Hema alilotengenezewa na wana wa israel
Kazi ya kiti ni kutengeneza mazingira ya kiroho na kupitisha mambo na kulinda mambo yaliyopitishwa kiroho
Mf:Wamama walioolewa katka makanisa ambao mume wao amekaa katka kiti cha enzi cha shetani chek viroho vyao
Cheki nchi ambayo wamesema itaongozwa kwa minaji ya kiislam chek wakristo walioko hawana uhuru na usalama wa viroho vyao
Yeremia 1:10
Ukiwa na mamlaka ya kiti au ukikaa katka kiti umepewa mamlaka ya unabomoa na kuvunja
Kama kila anayekataa kiti eidha cha uongoz nani atakayebomoa?na huwez bomoa,kuvunja kama hujakaa katka kiti mana huna mamlaka
Isaya 6:1
Watu wengi wanafikiria kwamba Shetani kawapiga bao ktk huduma yao katka utumish wao na hakuna faina wala manufaa kumbe laa,kuna mtu kakaaa katka icho kiti ambacho kinamfanya awe kipofu na haoni kitu cha Mungu kwasababu hayupo katka kiti
Na huwez kukaa katka kiti au kaama hujapigana au kupamana
Unataka kuona mafanikio katka familia au ofic au kanisan chek kile kiti cha hapo mahali na mpe Mungu nafasi
Asomaye na afahamu



MWL MWAKASEGE JANGWANI-SIKU PILI. 02/MARCH 2015
SOMO: UHUSIANO WA VITI VYA ENZI NA MAFANIKIO YAKO.
Ufunuo 13:1,2,7,8,9.
Somo hili ni zito kidogo maana kuna wito ndani yake.
Kama tulivyosema jana kiti kinatoa mamlaka.

JINSI SHETANI ANAVYOTUMIA VITI VYA ENZI KUKWAMISHA MAFANIKIO YAKO.
Soma habari za Joka,alimpa mnyama kiti,Nguvu na uwezo mwingi ili kufanya vita na watakatifu na aliwashinda wengi.Nguvu juu ya kila jamaa na kabila ili Wamwabudu yeye.
Kwa kawaida alitoa nguvu,mamlaka na uwezo mwingi(mamlaka) ili kuwapiga vita watakatifu.
Watakatifu ni nani?Ni yule aliyetengwa ili aweze kufanya kusudi la Mungu.Matakatifu sio tu mtu aliyeokoka au mkristo.
Mtakatifu ni zaidi ya aliyeokoka.si kila aliyeokoka anasimamia kusudi la Mungu.
Inawezakana mtu si mkristo au hajaokoka Mungu anaweza kumtenga kusimamia kusudi.huyu ni mtakatifu.
Mfano :Kama Nebukadreza.kile kiti haikuwa cha shetani ila shetani alifanya kufoji.
Ufunuo 13:Shetani anapiga vita mtu aliyetengwa kwa kusudi.mfano ofisini.hata kama hujaokoka jaribu kutetea haki utaona.
Haki si suala la ukristo ni kanuni za mbingu.
Ufunua 5:9-14.
Nao waimba wimbo mpya......
Yesu alimnunulia Mungu watu wa kila kabila.naye Joka alimpa mnyama nguvu ya kufaya vita na watu wa kila kabila.
Yesu anataka asujudiwe na kila kabila na kila lugha, shetani naye anataka watakatifu waliotengwa na damu ya Yesu na kupambana nao.Pamoja na kwenye ukoo au familia shetani yupo tu anatafuta watakatifu.
Ufalme wa Mungu ni the highest form of government.incomparable
Shetani anang'ang'ana kila mahali.
Ukiokoka Yesu anakupa na shetani naye anawapa watu wake vile vile.
Vitani tunaenda na nguvu na mamlaka ila shetani anakuja na kiti,nguvu na mamlaka.USISAHAU KITI ULICHOPEWA NA YESU VITANI.
Shetani anapambana na watu wasifahamu mamlaka ulionao ndani ya Yesu.
Kula hazikupi utawala bali zinaonyesha unaopendwa kiasi gani.ila mwenye mamlaka ni mwenye kiti.
Ukiwa na nguvu,upako na ufunguo bila kiti unakosa kitu kikubwa sana.
1Kings 2:12
Kiti kinatenga mamlaka ya kiti na kiti
Ufunuo 21:3-5
Yeye aketiye..........
Kutoka 25:17-22.
Kuna tofauti Mungu akisema ukiwa kwenye kiti na ukiwa nje kiti.
Sisi hatupo kwenye hema iliofanywa na mikono ya binadamu.ili viti vyetu ni vya Rohoni.
Farao aliota ndoto lakini Mungu akaifunga asielewe kwa sababu waganga wangejipatia heshima.Ila akamtumia mtu aliyeketi kwenye kiti (Yusufu)
VITU VINAVYOWEZA KUTOKA KWENYE KITI CHA ENZI INATEGEMEA KAZI YA KITI.
Waebr 4:16.
Ufunuo 20:16.
Yesu aliketi kwenye kiti cha Rehema.ni Yesu yule yule aliketi kwenye kiti cha hukumu.
Kiti kinambadilisha mti.
Mfamo.mpeleke Mke wako akasome U judge halafu uwe MWIZI.
Usicheze na Yesu.
Kuna wakati wa Rehema na hukumu.
Kuna vitu unaweza kura kwa sababu anaketi kwenye kiti.KITI KINATOA.
Matendo 12:1.....
Matendo 11:27-30.
Herode alipokufa Neno lilienea.
Shetani anatumia watu walioko madarakani kuzuia haki,huduma n.k.
Herode alimfunga petro kuwafurahisha wayahudi.
Kiti kilikuwa ni kikwazo kwenye huduma ya mitume.
SHETANI ANAPAMBA NA WATEULE.
HERODE si jina la mtu ni jina la CHEO.
Herode namba 2.alikata kichwa cha Yohana mbatizaji.
Herode namba 3.alimuua Yakobo na kumfunga Petro.
Herode namba 4:ni mfalme Agripa.

USICHEZE NA VITI ILIMFUNGA NEBUKADREZA MIAKA SABA KAMA MNYAMA.
Inakuwaje kanisa hakuna hat mmoja aliyeketi kwenye kiti na Yesu mnamsukumia nje kama kanisa la LADOKIA.
Walimpiga Mchungaji kondoo wakatawanyika.
Nani anayejua thamani ya Yakobo.nani atakayeomba kwa ajili ya kina Yakobo katika familia,ndoa,ukoo na nchi.
Shetani anapigana na wakristo wasikae kwenye viti.Yesu alikuja na ufalme begani mwake.
Yesu hakuja kupigana vita duniani walishapigana mbiguni na shetani akashindwa.duniani YESU HAKUHITAJI ROUND YA PILI DUNIANI.


0 comments:

Post a Comment

Popular Posts

Recent Posts

Unordered List

Text Widget

Powered by Blogger.
Copyright © RAPHAEL KILALE | Powered by Blogger
Design by Saeed Salam | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com